Friday 28 December 2018

YANGA HII “IYENA IYENA” WABIKISHA DAKIKA HIZI 180 ZA KUWAZIBA MDOMO SIMBA

...
MABINGWA wa Kihistoria timu ya soka ya Yanga,wamepania kuhakikisha wamlalua kila anayekuja mbele yake baada ya kuhaidi kuzitumia dakika ngumu 180 kuthibi­tisha kwamba hawakuwa wakibahati­sha kwenye mzunguko wa kwanza. Watoto hao wa Jangwani ambao Kikosi chao hicho kinanolewa na kocha mwenye maajabu yake , Mwinyi Zahera hadi sasa kimecheza mechi 17 na kati ya hizo imeshinda 15 ikiwa imepata alama 47. Lakini kibarua kizito kinakuja kukamilisha mzunguko wa kwanza. ambapo ni ni dhidi ya Mbeya City na Azam FC. Endapo Yanga itafanikiwa kushinda mechi hizo mbili, itakuwa imefikisha alama 53…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger