Saturday 29 December 2018

WABUNGE VITI MAALUMU CCM  WAVIINUA VIKUNDI VYA AKINAMAMA JIMBO LA UKONGA.

...
  Wabunge viti maalumu CCM Mkoa wa Dar es salaam wameviinua vikundi vya kinamama wa jimbo la Ukonga kwa kuwapa vifaa kazi na fedha. Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake Wilaya ya Ilala Amina Dodi ameyasema hayo wakati wa ziara ya wabunge wa wa viti Maalumu katika kata za Kitunda ,Mzinga ,na Majohe,ambapo wabunge hao wametoa msaa wa fedha , pembejeo za kilimo na cherehani kwa vikundi vya akina mama. “Katika kipindi cha uongozi wangu nimejitahidi sana kuwahamasisha wabunge wetu kuwa karibu na wananchi na wabunge hawa wamekubali kushuka chini kabisa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger