Saturday 29 December 2018

KIJANA INITIATIVE KUWAINUA WAJASIRIAMALI NA WASIOJIWEZA MOROGORO

...
Taasisi ya Kijana Initiative Foundation imeungana na familia mia moja (100) zinazoishi katika mazingira magumu wakiwemo wajane pamoja na wanawake wajasiriamali wadogo,ili kubadilishana mawazo na kula chakula cha pamoja katika ukumbi wa Chuo Kikuu Cha Jordan mkoani Morogoro. Hafla hiyo imefanyika Leo 29 Desemba 2018 na kujumuisha Viongozi mbalimbali akiwemo Ndg Shaka Hamdu Shaka, Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro ambaye alikuwa mgeni rasmi, pamoja na Ndg Said Said Nguya mdau wa maendeleo na wanawake wajasiriamali pamoja na familia zinazoishi katika mazingira magumu ambazo zimeonesha furaha ya wazi kwa msaada…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger