Saturday 29 December 2018

2019 MWAKA WA NEEMA KWA WANANCHI WA WILAYA YA SERENGETI

...
Na,Naomi Milton Serengeti. Hospital ya wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara inayojengwa kwa michango ya wananchi kupitia kauli mbiu ya Jenga hospital kwa shilingi 1,000 na fedha kutoka Tamisemi inatarajiwa kuzinduliwa Januari 1 mwaka 2019 Katika taarifa yake Mkurugenzi mtendaji wa Halmshauri ya wilaya ya Serengeti Juma Hamsin inasema hadi sasa kiasi cha shilingi bilioni 2,347,284,000 zimeshatumika katika ujenzi huo Aidha katika pesa hizo shilingi bilioni 1,4000,000,000 zimetoka Serikalini na pesa iliyobakia ni michango ya wananchi pamoja na Halmashauri ya wilaya ya Serengeti Kukamilika kwa hospital hiyo iliyoanzwa kujengwa tangu…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger