Monday 31 December 2018

CCM TABATA YAPIGA MARUFUKU KUTOA TAARIFA ZA CHAMA MITANDAONI

...
Na Heri Shaban CHAMA cha Mapinduzi CCM Tabata Mtambani kimetoa Elimu na kuwapiga msasa Jumuiya za Chama hicho kwa kuwapa elimu kila kiongozi afahamu majukumu yake. Semina hiyo iliandaliwa na CCM Tabata Mtambani ilifunguliwa Dar es salaam hii leo,na Katibu wa CCM Tabata Haruna Aliphonce ambapo katika ufunguzi alipiga marufuku taarifa za chama cha mapinduzi kujadiliwa mitandaoni badala yake aliwataka wana CCM masuala ya chama yasijadiliwe mitandaoni yafanyike katika vikao halali. Haruna aliwataka wana CCM kutumia vikao vyao vya kanuni na kufuata taratibu za chama cha Mapinduzi waachane na utandawazi…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger