Saturday 29 December 2018

DIAMOND NA MPENZI WAKE WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI COMORO

...

Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz amekutana na balozi wa Tanzania nchini Comoro.

Katika hafla hiyo Diamond alikuwa ameongozana na mpenzi wake kutoka nchini Kenya, Natasha.

"Earlier today when i visited the Tanzanian Embassy in Comoros,"ameandika Diamond kupitia ukurasa wake wa Instagram. 
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger