Friday 28 December 2018

MAMBO YAMFIKA SHINGONI MREMA,AAMUA KUVUNJA UKIMYA NA KUTOA KILIO HIKI

...
MAMBO yamemfika shingoni na kuamua kusema ndivyo naweza kusema baada ya Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augustino Mrema, kuibuka na kuingukia Serikali inapofanya marekebisho ya vyama vya siasa kuangalia umuhimu wa kuvipatia vyama vidogo vya siasa ruzuku, ili navyo viweze kujiendesha. Mbali na kutaka marekebisho hayo kuruhusu vyama vya siasa ambavyo havina wabunge wala madiwani kupewa ruzuku, pia ametaka sheria iruhusu kufanyika kwa mikutano ya siasa ili kuweza kujenga vyama hivyo. Kauli hiyo ya Mrema inakuja ikiwa imepita wiki baada ya kuvishambulia vyama vya upinzani vilivyokutana visiwani Zanzibar vilipokuwa vinazungumzia…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger