Tuesday 18 December 2018

VYAMA VYA UPINZANI VYAJILIPUA,VYATOA MAZIMIO HAYA YAKUPINGANA NA AGIZO LA JPM

...
NA KAROLI VINSENT VYAMA Sita vya Upinzani vilivyokutana Faragha kwa muda siku mbili,vimekuja na maazimio ya Mawili mazito, ikiwemo la kufanya mikutano ya Hadhara pamoja na kuwatangaza Viongozi wa Upinzani waliokuwa Gerezani kuwa ni wafungwa wa kisiasa. Maazimio hayo ambayo yanatajwa kama yakumjaribu Rais John Magufuli ,baada ya kupingana na Agizo alilotoa Rais la kuweka  utaratibu wa vyama hivyo juu ya ufanyikaji wa mikutano ya Hadhara baada ya kuelekeza waliochaguliwa na wananchi kwenye majimbo yao (Wabunge) na Madiwani (Kata) ndio wanaruhusiwa  kufanya mikutano hiyo. Mkutano huo wa Faragha ambao umeratibiwa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger