Tuesday 18 December 2018

SERIKALI YAMFUNGIA MSANII DIAMOND KWA MDA USIOJULIKANA,NI SIKU MOJA KUPITA BAADA YA KULIPONDA SHIRIKA LA NDEGE LA ATCL

...
NA mwandishi wetu NI mwaka wa shetani kwa wanamuziki Diamond Platnumz na Rayvanny ndivyo naweza kusema mara baada Baraza la Sanaa nchini (Basata) limewafungia kutojihusisha shughuli za sanaa kwa muda usiojulikana. Taarifa hii ya kufungiwa wimbo huu ,unakuja ikiwa ni siku moja kupita baada ya msanii Diamond ambaye anatwajwa kuwa na mafakikio makubwa kuirushia lawama Shirika la Ndege nchini la (ATCL) kusema linatoa huduma mbovu. Mara baada ya kutoa kauli hiyo ambayo ilileta taharuki kwa watanzania mpaka ikawafanya ATCL kupitia msemaji wake ,Josephat Kagirwa ,kuibuka na kupinga tuhuma alitoa Diamond…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger