
GAUNI alilovaa msanii wa filamu Bongo, Elizabeth Michael hivi karibuni alipokuwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Watu limeonesha kuwatega wanaume hasa wakware kufuatia kuuanika ‘upaja’ wake.
“Duh!Haka kabinti kazuri na lile gauni alilovaa ndiyo anawaacha hoi sana wanaume,ile ni kututafuta ubaya na kama ni kututega kafanikiwa kwa silimia 100,” alisikika kijana mmoja akisema.
Paparazi wetu alifanya jitihada za kutaka kuongea na Lulu juu ya mpasuo huo, lakini hakuwa tayari na hata baada ya zoezi la utoaji wa tuzo, aliondoka fasta akiwa na wapambe wake.
0 comments:
Post a Comment