Wednesday 19 December 2018

WANATOKEA WAPI SASA HAWA NKANA,JULIO AWAPA MBINU HII OKWI NA KAGERE

...
NI wazi timu ya Nkana kutoka Zambia wameshakufa kwenye mechi ya marudiano ndivyo naweza kusema baada ya Timu ya Simba kumpa jukumu zito mshambuliaji wake hatari kabisa Emmanuel Okwi, raia wa Uganda la kuwamaliza Wazambia hao. Mfumania Nyavu huyo amepewa kazi maalumu ya kuivusha Simba kwenye hatua ya makundi kwa kushirikiana na wachezaji wenzake ili kuwafunga mabao zaidi ya 2 Nkana FC ya Zambia. Simba wanawakilisha Taifa kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ili waweze kufika hatua ya makundi wanapaswa wawafunge Nkana bao 1-0 katika mchezo wa marudio utakaochezwa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger