Wednesday 19 December 2018

WAKAZI WA MANISPAA NA MIJI KUNUFAIKA NA UMEME WA REA

...
  Na Mwandishi wetu Ruvuma. Shirika la umeme nchini Tanesco mkoani Ruvuma kupitia wakala wa kusambaza umeme vijijini Rea limeendelea kusambaza umeme katika vijiji mbalimbali vilivyopo kwenye mpango ndani ya mkoa wa Ruvuma na kuwafanya wananchi mkoani humo kunufaika na matunda ya serikali ya awamu ya tano. Akitoa salamu za shukrani kwa uongozi wa Tanesco mkoa wa Ruvuma kutokana na kasi waliyonayo ya kuhakikisha wananchi mkoani humo wanapata nishati hiyo, Mhe Subira Mgalu, Naibu Waziri Nishati amemtaka mkandarasi wa kampuni ya Namis kufanya kazi kwa kasi na umakini ili kuondoa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger