Tuesday 18 December 2018

TRA KUWASAJIRI WABADIRISHA FEDHA MIPAKANI

...
Na Kahinde Kamugisha , Ngara Wafanyabiashara  ya kubadilisha fedha  katika wilaya ya Ngara mkoani Kagera  wameshauriwa   kujisajili na kutambulika kisha kuwa na leseni kwa mujibu wa sheria kupitia benki kuu  ya Tanzania BOT na  shirika la fedha duniani IMF. Kaimu afisa Mfawidhi wa kituo cha forodha Kabanga wilayani Ngara Seifu Mkilindi ametoa ushauri huo mbele ya  waandishi wa habari Ofisini kwake na kwamba usajili huo lazima uanze na mwenye kuwa na dola elfu  10 na kuendelea. Amesema  kwa upande wa Tanzania wanaofanya biashara ya kubadilisha fedha  ni wachache katika kituo…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger