Tuesday 18 December 2018

MADIWANI SIMAMIENI MIRADI YA MAENDELEO ILI KUFIKIA MALENGO YA SERIKALI

...
Na Stephen Noel -Mpwapwa. Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wametakiwa kuweza kusimamia Halmashauri zao na kuisadia serikali kufikia Malengo yaliyo kusudiwa. Kauli Hiyo imetolewa na Kamanda wa Tasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa wilayani Mpwapwa Bi July Mtui alipo kuwa akiwasilisha Mada ya wajibu wa madiwani wa Halmashauri ya Mpwapwa dhidi ya nafasi ya madiwani Katika kupambana na Rushwa. Bi.Mtui amesema kuwa Madiwani wakiwa Kama wenye viti wa kamati za maendeleo ya Kata (WDC) wametakiwa kusimamia rasilimali, miradi ya maendeleo na ili kuepuka miradi Hiyo…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger