Wednesday 19 December 2018

AUMUUA KIKATILI HAWALA YAKE KISHA NA YEYE KUJIUA

...
Na Allawi Kaboyo Bukoba. Watu wawili wanaodaiwa walikuwa katika mahusiano ya kimapenzi wamefariki baada mmoja kunyongwa na mwingine kujinyonga, katika mtaa wa Mafumbo katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera. Kamanda wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi alisema kuwa mauaji hayo yamegundulika Desemba 17 mwaka huu saa 11 jioni katika mtaa huo. Malimi alimtaja anayedaiwa kunyongwa na mpenzi wake kuwa ni Regina Temu (29) mkazi wa Kahororo pia katika manispaa hiyo, na mfanyakazi wa kiwanda cha kusindika kahawa cha Tanica, aliyekutwa amenyongwa kwa tai. Alisema kuwa baada ya huyo mpenzi wake…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger