Wednesday 19 December 2018

AMA KWELI YANGA NI TIMU YA WANANCHI,MASHABIKI TENA WAIMWAGIA MAMILIONI HAYA

...
KAMA ulikuwa uamini kama YANGA ni timu ya Wananchi basi amini hii baaada ya wanachama wa klabu ya Yanga Kuamua kuwekeza nguvu zao kwa kuichangia timu kiasi cha shilingi za kitanzania, milioni 8. Mabingwa hao wa Historia ambao wamefika jana salama kwenye Jiji la Arusha jana kwa ajili ya kumenyana na Afrika Lyoni . Wanachama na wadau hao wenye mapenzi ya dhati na Yanga, wametoa kiasi hicho cha pesa kwa ajili ya kuipa hamasa na kuisaidia baadhi ya gharama za kutumia kwa kipindi cha siku tatu ambazo itakuwa mkoani humo.…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger