Kamishna
wa Fedha na Utawala wa Jeshi la Magereza, Gaston Sanga akimkaribisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
alipotembelea Banda la Jeshi la Magereza lililopo katika Uwanja wa
Mwalimu Nyerere katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa, leo
Julai 5, 2014 Jijini Dar es Salaam(wa kwanza kulia) ni Kamishna Msaidizi
Mwandamizi wa Magereza, Sania Kigwe.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akiangalia Mbogamboga aina ya Kabeji ilivyostaawi katika Banda la Jeshi
la Magereza alipotembelea Banda hilo leo Julai 5, 2014 katika Maonesho
ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea Jijini, Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akipokea maelezo ya kitaalam toka kwa Mtaalam wa Bustani wa Jeshi la
Magereza, Stafu Sajini, Nicolaus Sikazye(aliyeinama) alipotembelea Banda
la Jeshi la Magereza katika Bustani ya Magereza leo Julai 5, 2014
Jijini, Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akipokea maelezo toka kwa Mtaalam wa Kilimo, Mrakibu wa Magereza,
Uswege Mwakahesya(kushoto) alipotembelea Banda hilo leo Julai 5, 2014
katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea Jijini, Dar
es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akiangalia kiatu aina ya Buti ambacho kimetengenezwa katika Kiwanda cha
Gereza Karanga Moshi, Kiwanda hicho kinamilikiwa na Jeshi la Magereza.
Rais Kikwete ametembelea Banda hilo leo Julai 5, 2014 katika Maonesho
ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea Jijini, Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment