Thursday 2 July 2015

VIJANA WOTE WALIOKOSA NAFASI ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2015,SOMA HAPA UJUE CHA KUFANYA MDA HUU

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Image result for ngao ya tanzania  
Habari zenu wadau wa BLOG PENDWA YA MASWAYETU ,namshukuru allah kwa kuniwezesha kuiona siku hii ya leo tena. Mada ambayo napenda kuiongelea hapa ni kuhusu vijana wote waliokosa nafasi za kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano july 2015,lakini wanasifa za kujiunga na kidato cha tano,Basi kama wewe au ndugu yako ni mmoja wapo fanya yafuatayo kwa kuangalia lipi linakufaa kwa sasa;
1.SUBIRI SECOND SELECTION Endapo bado una nia ya kwenda kidato cha tano na umefaulu vizuri,mara nyingi serikali yetu imekuwa sikivu katika kuhakikisha kuwa kila kijana aliefaulu anachaguliwa kujiunga kidato cha tano,huwa inatoa second selection kwa wanafunzi wwenye sifa za kujiunga na kidato cha tano,kwa hiyo kama wewe GPA YAKO ni kuanzia 1.6 na unahamu na kidato cha tano tafadhali subiri utachaguliwa. NOTE:usibweteke na kusubiri tu hizo second selection fanya yafuatayo kwani kidato cha TANO sio maisha ,maisha ni popote pale,basi fanya yafuatayo;
2.APPLY UALIMU KUPITIA NACTE Nacte inahusika na vyuo vya ualimu kwa ngazi ya diploma na kushuka chini,basi naomba ufanye hima uombe ualimu haraka kwani deadline ni tarehe 17.7.2015,Kama una sifa zifuatazo omba ualimu fasta.
EDUCATION PROGRAMS  The Ministry of Education and Vocational Training in collaboration with the National Council for Technical Education (NACTE) would like to inform the public that Central Admission System (CAS) is now open for new applicants into Teacher Training Institutions for academic year 2015/2016. Minimum Entry Requirements:
  1. Ordinary Diploma (Pre Service): Division I – III OR GPA of 1.6 in O’Level
  2. Ordinary Diploma (In Service): Grade IIIA Certificate
  3. Higher Diploma: Two (2) principle passes in A’Level or Ordinary Diploma (NTA 6).
  4. Ordinary Diploma in Laboratory Technology: Passes (D) in Physics, Chemistry, Biology and Mathematics
For science programs: 2 passes in science subjects (Physics, Chemistry, and Biology) in O’Level for Ordinary Diploma OR 2 principle passes in science and/or mathematics (Physics, Chemistry, Biology and Mathematics) in A’Level for Higher Diploma
3.APPLY KOZI ZA AFYA KUPITIA NACTE Nacte inahusika na vyuo vya vya afya kama ilivyo kwa ualimu kwa ngazi ya diploma na kushuka chini,basi naomba ufanye hima uombe afya haraka kwani deadline ni tarehe 17.7.2015,Kama una sifa zifuatazo omba kozi za afya haraka. HEALTH PROGRAMS 
The National Council for Technical Education (NACTE) in collaboration with the Ministry of Health and Social Welfare would like to inform the public that Central Admission System (CAS) is now open for new applicants into Health Training Institutions for academic year 2015/2016.
Minimum Entry Requirements:
  1. Ordinary Diploma: Physics/Engineering Science – D, Chemistry – C, Biology – C in O’level.
  2. Technician Certificate: Physics/Engineering Science – D, Chemistry – D, Biology – D in O’level.
  3. Upgrading/Higher/Advanced Diploma: Biology – D in O’level, work experience of two (2) years and above, passport size picture, Technician Certificate or Ordinary Diploma Certificate and Transcript in the field aspired and a letter of permission from employer. Nursing applicants should attach a copy of their license to practice.

4.OMBA VYUO VYA KILIMO NA MIFUGO Wizara ya mifugo inahusika na vyuo vya vya kilimo na mifugo kwa ngazi ya diploma na kushuka chini,basi naomba ufanye hima uombe ,Kama una sifa zifuatazo omba kozi za afya haraka.
1.    Sifa za mwombaji
i) Stashahada (Diploma – DAHP, DRMTC, DCVLT) - Miaka miwili (2) kwa wanachuo waliomaliza kidato cha sita na mwaka mmoja (1) kwa wanachuo waliomaliza cheti kwa mfumo wa Semesta
Awe amemaliza elimu ya Kidato cha Sita kufaulu masomo matatu ya Sayansi kati ya Baiolojia, Kemia, Fizikia, Hisabati, Jiografia, Sayansi kimu na Kilimo. Kiwango cha chini cha ufaulu kitakachomwezesha muombaji kukubaliwa ni cha subsidiaries mbili kwenye masomo ya sayansi. AU
·           Awe amemaliza mafunzo ya Astashahada (Certificate) katika fani ya Animal Health and Production (AHPC), Agrovet au Certificate in Agriculture and Livestock Production (CALP) ambayo ni sawa na NTA Level 5 kwenye vyuo vilivyosajiliwa na NACTE.
ii) Astashahada (Certificate – CAHP, CVLT) – Miaka miwili (2)
·           Awe amemaliza Kidato cha Nne na kufaulu masomo matatu ya sayansi kati ya Baiolojia, Kemia, Fizikia, Hisabati, jiografia na Kilimo. Kiwango cha chini cha ufaulu kitakachomwezesha muombaji kukubaliwa ni cha alama ya D kwenye masomo matatu ya sayansi.
·         iii) Stashahada Maalum ya Teknolojia ya Maziwa (SDDT) – Miezi sita (6)
·           Mwombaji awe amefaulu katika ngazi ya Stashahada katika fani zifuatazo: Uzalishaji wa Mifugo (DAP), Afya ya Mifugo (DAH) na Afya na Uzalishaji wa Mifugo (DAHP).
·           Mwombaji awe amefaulu katika ngazi ya Shahada katika fani zifuatazo: Sayansi ya Wanyama, Afya ya Mifugo, Teknolojia na Usindikaji wa vyakula
2.    Masharti ya Uombaji
·           Mwombaji atume fomu za maombi ya kozi anayotaka kusomea  kwa kujaza fomu akiambatanisha nakala (photocopies) za vyeti vyake vya elimu, pamoja na cheti cha kuzaliwa.
·           Fomu inapatikana kwenye Kampasi zetu, vituo vyetu vyote na Tuvuti ya Wizara Website: www.mifugouvuvi.go.tz /organization /Agencies/LITA
·           Fomu irudishwe na Bank pay-in slip ya Tshs 20,000/= iliyolipwa kwenye LITA Revenue Account, NMB Morogoro, Acc. No. 22110003142
·           Fomu zote zitumwe Makao Makuu ya Wakala na siyo kwenye Kampasi za Mafunzo kwa kutumia anuani ya hapo chini.
3.    Gharama za Mafunzo
Gharama za mafunzo zimeonyeshwa  kwenye fomu ya maombi ambayo inapatikana kwenye Kampasi, vituo vya Wakala na tovuti ya Wizara Website: www.mifugouvuvi.go.tz /organization /Agencies/LITA
4.    Mwisho wa kupokea maombi
Mwisho wa kupokea fomu za kujiunga na masomo ni tarehe 15/07/2015.
 

5.APPLY SPECIAL PROGRAMME UDOM

MWISHO:
Endapo utaufanyia kazi ushauri wangu nina imani kubwa malengo yako yatafanikiwa mbele kwa mbele,nakutakia mfungo mwema wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Wako, 
INNOCENT THE BLOGGER BOY-founder of maswayetu blog
you can contact me through:innocentlugano60@gmail.com
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger