Tuesday 14 July 2015

MHE. MAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO DAR, AHUTUBIA NYOMI MBAGALA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na mgombea mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan wakiteremka kwenye ndege.
 …Magufuli akisalimiana na wanachama wa CCM.
Ndege iliyombeba Mhe. Magufuli na Mhe. Samia kutoka Dodoma wakati ikiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.

Makada na wanachama wa CCM wakijiandaa kuwapokea viongozi hao.
Magufuli akizungumza na wanachama pamoja na wananchi (hawapo pichani) waliojitokeza kumlaki uwanjani hapo.
Wanachama wa chama hicho waliojitokeza kumsikiliza kwenye Uwanja wa Zakheem, Mbagala jijini Dar.
Waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda hawakuwa nyuma katika shamrashamra hizo.
MGOMBEA wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dk. John Pombe Joseph Magufuli, leo ametambulishwa rasmi kwa wakazi wa Jiji la Dar, ambapo amepokelewa kwa kishindo na makada wa chama hicho katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na kuelekea Mbagala - Zakheem ambako alizungumza na wakazi wa jiji la Dar.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger