Saturday 11 July 2015

ANGALIA PICHA MBALIMBALI ZIKIONYESHA MATUKIO YANAYOENDELEA MJINI DODOMA HIVI SASA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
DSC_2542
Majina matano ya waliopitishwa kwenye tano bora ya Wagombea
CCM tayari imethibitishwa, niko ndani ya Dodoma kuhakikisha kwamba maswayetu blog inakupa updates zote zinazoendelea leo July  11 2015 moja kwa moja.
Ninazo picha tayari kutoka Makao Makuu ya CCM katikati ya Jiji la Dodoma, hiki ndio kinachoendelea kwa sasa.
DSC_2535
DSC_2541
DSC_2546
DSC_2549
Naibu Waziri January Makamba. Jina lake lipo pia kwenye walle watano waliopitishwa.
DSC_2558
January Makamba akisalimiana na Waziri Steven Wasira na George Mkuchika.
DSC_2571
DSC_2572
January Makamba akisalimiana na Waziri Lazaro Nyalandu.
DSC_2584
Waziri Nyalandu na Naibu Waziri Mwigulu Nchemba.
DSC_2590
Aliyekuwa Meya waDar, Jerry Silaa
DSC_2595
DSC_2600
DSC_2606
DSC_2619
Waziri Bernard Membe, jina lake lipo pia kwenye wale watano waliopitishwa.
DSC_2627
January Makamba kwenye pozi la selfie.
DSC_2640
Mbunge Ridhwani Kikwete.
DSC_2634
Huyu jamaa alionekana Arusha pia kwenye Mkutano wa Lowassa akiwa amejiandika hivihivi, leo yuko Dodoma pia nje ya Makao Makuu ya CCM.
DSC_2665
Watu wa usalama wako jirani pia.
DSC_2678
Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja.
DSC_2648 DSC_2652 DSC_2675 DSC_2681 DSC_2683 DSC_2684 DSC_2697 DSC_2699 DSC_2700
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger