Friday 10 July 2015

MPYA:" FAMILIA ZA WAGOMBEA URAIS CCM VILIO. :

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mwenyekiti wa CCM, rais Jakaya KikweteSi mchezo! Baada ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia na kuridhia majina matano ya wanachama wake walioomba kuteuliwa kuwania Urais katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, baadhi ya familia za wagombea hao zilizo mjini hapa zimejikuta zikiangua vilio huku zile za waliopenya Tano Bora ziliripuka kwa furaha. Habari zilizolifikia gazeti hili zinasema kuwa familia mbili za wagombea tofauti zilizofikia katika hoteli moja yenye hadhi iliyo mjini hapa, zilijikuta zikiungana kwa furaha baada ya kubaini watu wao wamepenya katika hatua hiyo ngumu ya uteuzi.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger