Tuesday 28 July 2015

Mtoto wa Gaddafi ahukumiwa kunyongwa

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Saif_Gaddafi_Zinta_2934739b

Saif al-Islam Gaddafi.
SAIF al-Islam Gaddafi ambaye ni mtoto wa aliyekuwa Rais wa Libya, Muammar Gaddafi, amehukumiwa kunyongwa katika mahakama moja nchini Libya pamoja na watu wengine nane kufuatia uhalifu wa kivita uliohusishwa na mapinduzi ya mwaka 2011.
Saif-al-Islam_2038118b
Watuhumiwa hao walikuwa wameshtakiwa pamoja na washirika wengine wa kiongozi huyo aliyeondolewa madarakani kwa kujaribu kuzima maandamano wakati wa mapinduzi hayo.
t1larg.saif.al.islam.cnn
Saif al Islam, ambaye kwa sasa anazuiliwa na kundi moja la waasi la zamani katika Mji wa Zintan hakuwepo mahakamani na alitoa ushahidi wake kupitia teknolojia ya kanda ya video.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger