Sunday 20 January 2019

DKT SHEIN AWATAKA WAHITIMU WA CHUO KUTUMIA UJUZI WAO KUJIAJIRI

...
RAIS wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mhe.Dk Ali Mohamed Shein amewataka wahitimu wa Chuo cha Abdul Rahman Al Sumait kutumia ujuzi walioupata chuoni hapo kwa kujiajiri wenyewe bila ya kusubiri ajira kutoka Serikalini. Akisoma hotuba kwa niaba yake huko Chukwani, katika mahafali ya 18 ya chuo hicho, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Riziki Pembe Juma amesema tatizo la upungufu wa ajira si la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar pekee bali ni kilio cha dunia nzima. Aidha Dk. Shein ameupongeza uongozi wa chuo cha Alsumait…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger