Thursday 31 January 2019

KIKOSI CHA INTELIJENSIA CHAINGIA RASMI NJOMBE KUONGEZA NGUVU YA UPELELEZI WA MAUAJI

...
Na.Amiri kilagalila Kamishna wa operesheni na mafunzo ya jeshi la polisi nchini NSATO MARIJANI akiwa na wataalamu wengine wa intelijensia wamefika mkoani Njombe ili kuungana na jeshi la polisi mkoani humo katika kupambana na mauaji dhidi ya watoto wadogo. kikosi hicho maalumu kimewasili mkoani Njombe Ikiwa ni siku moja imepita tangu naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi amuagize IGP SIMON SIRRO kutuma kikosi maalumu cha kiintelijensia kuongeza nguvu katika uchunguzi wa watekaji na wauaji wilayani Njombe. Akizungumza katika mkutano wa dharura na wananchi katika kituo kikuu cha mabasi…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger