Thursday 31 January 2019

BAWACHA TAIFA WALAANI VITENDO VYA MAUAJI YA WATOTO NJOMBE

...
Baraza la wanawake Chadema Tanzania (BAWACHA) wameungana na watanzania wengine hususani wananchi wa mkoa wa Njombe kulaani vitendo vya mauaji ya watoto yaliyotokea hivi karibuni mkoani humo . Katika taarifa iliyotolewa na mwenyekitiki wa Baraza hilo Taifa HALIMA MDEE imeeleza kuwa Kwa kipindi cha takriban mwezi mmoja sasa kumekuwa na habari za kutisha kutoka mkoani Njombe ambapo vyombo vya habari mbalimbali vimeripoti kuwepo kwa mfululizo wa mauaji ya watoto wapatao 10, ambao wametekwa na kuuwawa kwa kuchinjwa katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji wa Njombe na Halmashauri ya Wilaya…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger