Tuesday 29 January 2019

WANAOHUSIKA NA MAUAJI YA WATOTO NJOMBE HAWATAACHWA SALAMA:NAIBU WAZIRI MASAUNI

...
SERIKALI imelaani mauaji ya kinyama ya watoto watatu wa familia moja yaliyotokea mkoani Njombe na kusema kuwa tukio hilo halitapita bure na inataka iwe fundisho kwa watu wenye roho za kinyama wanaotekeleza mauaji ya watoto wadogo hapa nchini. Akizungumza katika mazishi ya watoto watatu Godliver, Giliad na Gasper Nziku wote wa familia moja ambao wamefariki dunia kwa kuchinjwa na kutupwa maeneo tofauti, yaliyofanyika Kijiji cha Ikando, Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe yaliyofanyika jana Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, HAMADI MASAUNI ameyasema hayo wakati akitoa salamu…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger