Wednesday 30 January 2019

IGP SIRRO AAGIZWA KUTUMA TIMU YA WATAALAMU NJOMBE KUSAIDIA UPELEZI MAUAJI YA WATOTO

...
Na.Amiri kilagalila Naibu waziri wa mambo ya Ndani ya nchi HAMAD MASAUNI amemuelekeza Inspecta genarali wa polisi SIMON SIRRO kutuma timu ya wataalamu mbali mbali mkoani Njombe ili kusaidiana na jeshi la polisi mkoani humo kupambana na vitendo vya utekaji na mauji ya watoto wadogo. Agizo hilo limetolewa mkoani Njombe wakati waziri wa mambo ya Ndani akizungumza na waandishi wa habari na kutoa tathmini ya ziara yake ya siku tatu mkoani mkoani humo yenye lengo la kupambana na mauaji dhidi ya watoto wadogo yanayoendelea mkoani Njombe. “Namuelekeza IGP kwanza kutuma…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger