Monday 28 January 2019

ARUSHA KUPATA BANDARI KAVU

...
Na,Jovine Sosthy-Arusha Mamlaka ya usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Tanga imesema inasogeza huduma zake karibu na wateja wake wa Mkoa wa Arusha kwa kujenga bandari kavu maeneo ya King’ori. Akisoma taarifa ya maendeleo ya bandari ya Tanga kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha msimamizi wa bandari hiyo bwana Percival Ntetema,alisema huduma za bandari ya Tanga zimeimarika sana kwa sasa na bandari hiyo inaongoza kwa kutoa mizigo haraka kwa upande wa Afrika Mashariki. Alisema ilikuongeza ufanisi zaidi Bandari ya Tanga itashirikiana na mamlaka ya Reli Tanzania kufufua reli ya Tanga hadi…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger