Thursday 31 January 2019

MALORI 8 YALIYOSHEHENI MBAO NA MKAA YAKAMATWA NA TRA NJOMBE KWA KUKWEPA KODI

...
Na Amiri kilagalila Mamlaka ya mapato Tanzania TRA mkoa wa Njombe inayashikilia Magari makubwa 8 yaliyosheheni mizigo ya Mbao kwa makosa ya kukwepa kulipa Kodi. Akizungumza na waandishi wa habari mapema siku ya leo katika kituo cha ukaguzi wa Magari kilichopo kibena njia panda ya kuelekea lupembe halmashauri ya mji wa Njombe,meneja wa TRA mkoa wa Njombe MUSA SHAABAN alisema kuwa malori hayo yanashikiliwa kwa makosa makuu mawili ikiwemo kuto kuwa na risiti za manunuzi. “Haya malori tumeyakamata kwasababu kuu mbili na sababu ya kwanza tumekagua risiti za manunuzi sasa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger