Monday 28 January 2019

MADIWANI WAPINGANA NA MAAMUZI YA DC NJOMBE

...
Na.Amiri kilagalila Baraza la madiwani halmashauri ya mji wa Njombe limeazimia kuendelea kumchangisha mzazi fedha ya dawati tofauti na maagizo ya mkuu wa wilaya hiyo RUTH MSAFIRI ya kusitisha mpango huo ambao ulianza kutekelezwa na baadhi ya kata mkoani humo. Wakizungumza wakati wa kujadili hoja ya elimu katika kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika hii leo katika ukumbi wa halmashauri ya mji wa Njombe,madiwani hao wamesema kuwa kamwe hawawezi kuludishwa nyuma na mtu mmoja katika swala la uchangiaji wa dawati kwani wazazi wenyewe wameridhia ili kuepusha watoto kukaa chini. “mwenyekiti…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger