Saturday 26 January 2019

LAKI SITA ZATAKA KUMKATISHA UHAI MWEKA HAZINA WA KIKUNDI CHA KUKOPESHANA NJOMBE

...
Na.Amiri kilagalila Mkazi mmoja wa mtaa wa Kihesa mjini Njombe aliyefahamika kwa jina la Maria mgeni (26) amenusurika kifo mara baada ya kujaribu kujiua kwa kunywa sumu kutokana na kushindwa kuwasilisha baadhi ya michango ya wanachama inayokaribia kiasi cha shiringi laki sita Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Rashid Ngonyani,alisema kuwa binti huyo mfanyabiashara ndogo ndogo wa mboga mboga alijaribu kujiua kwa kunywa sumu ambayo bado haijajulikana pamoja na kujichana maeneo ya kitovuni na kitu chenye ncha kali. “Mnamo tarehe 25 mwezi…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger