Na Amiri kilagalila Baada ya serikali kutoa fedha shilingi bilioni moja na milioni mia tano kwaajili ya ujenzi wa hospitali ya halmashairi ya wilaya ya Njombe wananchi kata ya Matembwe kunakojengwa hospitali hiyo wamejitokeza kwa wingi kushiriki katika maendeleo ya uchimbaji wa misingi ya majengo Ili kuunga mkono mpango wa serikali wa kusogeza huduma za afya karibu na wananchi. Joseph Ng’umbi na Leokadia Ngala ni miongoni mwa wananchi waliojitokeza katika eneo lililoandaliwa kwaajili ya ujenzi wa hospitali ya wilaya ya njombe kata ya matembwe wilaya ya Njombe ambapo wananchi wa…
0 comments:
Post a Comment