Friday, 8 February 2019

WANANCHI NA VIONGOZI CCM NGARA WASHIRIKI UJENZI WA DARASA

...
Ngara: Na Mwandishi wetu. Wakazi wa kata ya Rulenge kwa kushirikiana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Ngara mkoani Kagera wameshirikiana kujenga madarasa ya shule ya msingi Murugalagala ili kupunguza adha ya wanafunzi kusongamana katika chumba kimoja. Akiongoza ujenzi huo Katibu wa Ccm wilaya ya Ngara John Melele alisema viongozi na wanajamii wameungana kuonesha mshikamano na kuguswa na changamoto za shule hiyo katika utoaji wa taaluma. Melele alisema wameshiriki kusomba mawe, matofali na kujenga chumba kimoja kati ya viwili vinavyojengwa ambapo ametoa mifuko mitatu ya saruji na kuchangia…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger