Ngara: Na Mwandishi wetu. Wakazi wa kata ya Rulenge kwa kushirikiana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Ngara mkoani Kagera wameshirikiana kujenga madarasa ya shule ya msingi Murugalagala ili kupunguza adha ya wanafunzi kusongamana katika chumba kimoja. Akiongoza ujenzi huo Katibu wa Ccm wilaya ya Ngara John Melele alisema viongozi na wanajamii wameungana kuonesha mshikamano na kuguswa na changamoto za shule hiyo katika utoaji wa taaluma. Melele alisema wameshiriki kusomba mawe, matofali na kujenga chumba kimoja kati ya viwili vinavyojengwa ambapo ametoa mifuko mitatu ya saruji na kuchangia…
0 comments:
Post a Comment