Sunday 20 January 2019

MIEZI MITATU MICHUNGU KWA TAKUKURU NJOMBE SASA IMEKWISHA.

...
Na Amiri kilagalila Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru Mkoa wa Njombe imefanikiwa kufuatilia na kukagua miradi mikubwa mitano ya maendeleo ukiwemo mradi wa maji wa Lugenge wenye thamani ya Tshs 3,642,817 355 bilioni. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kaimu Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Njombe Charles Mulebya Alisema Kuwa Takukuru mkoa ndani ya kipindi cha miezi mitatu ya Octoba hadi Disemba 2018 waliweza kufuatilia na kukagua miradi mikubwa mitano ya maendeleo kwa lengo la kuhakiki ubora na thamani ya fedha za umma. Mulebya alisema licha…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger