Na.Amiri kilagalila Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Makete mkoani Njombe limepitisha na kuridhia kuwasimamisha kazi watumishi wapatao 50 waliojipatia ajira kwa njia ya udanganyifu na mtumishi mmoja aliyethibitika kuwa ni mtoro kazini . Akitangaza mapendekezo ya kamati mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya makete mh Egnatio mtawa amesema hayo ni mawazo ya baraza la madiwani lilojigeuza kuwa kamati ili kuweza kujadili juu ya jambo hilo. “kamati imefikisha mapendekezo kwenye baraza kwamba wtumishi wapatao 60 watendaji wa vijiji,afisa mifugo mmoja,fundi sanifu mmoja na madreva wanne wathibitishwe kwenye ajira zao…
0 comments:
Post a Comment