Umoja wa wafanya Biashara wa Masoko Rasmi ya matunda, mboga mboga na samaki wabichi wametoa siku 14 kwa halmashauri ya jiji la dodoma kuhakikisha wanafanyia kazi matamko na matangazo ambayo yamekuwa yakitolewa na mamlaka hiyo kuhusu kutoruhusu magari ya mizigo na wauzaji jumla wa bidhaa hizo kuhakikisha wanashusha bidhaa hizo kwenye soko rasmi la bonanza na sio mahali pengine Akitoa tamko hilo la umoja huo wa wafanyabiashara saidi muumba katibu wa soko la tambukareli amesema kuwa tangu mwaka 2009 halmashauri ya jiji la dodoma lilizuia magari yakushusha bidhaa za samaki…
0 comments:
Post a Comment