Sunday, 10 February 2019

MTOTO ALIYEKATWA KOROMEO NJOMBE AFARIKI DUNIA

...

 . Meshack Myonga (4), aliyenusurika kuuawa baada ya kutekwa na kukatwa koromeo wilayani Njombe amefariki dunia leo mchana Jumamosi Februari 9, 2019 katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya.

Desemba 23, 2018 mtoto huyo alitekwa na mtu asiyejulikana akiwa nyumbani kwa wazazi wake mtaa wa Mji Mwema wilayani Njombe, kisha kupelekwa msituni na kukatwa koromeo kabla ya kuokolewa na kijana mmoja.

Baada ya kuokolewa alipelekwa Hospitali ya Mkoa ya Kibena-Njombe na baadaye kuhamishiwa hospitali ya rufaa Mbeya kwa matibabu zaidi.
Na Godfrey Kahango, Mwananchi
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger