Na Allawi kaboyo-Kibondo. Wadau wa elimu mkoani Kigoma wameombwa kuunga mkono jitihada za serikali za kuhakikisha watoto wa kike wanapata elimu ili kuleta uwiano sawa wa ufaulu na wavulana ili kusaidia kukomesha vitendo vya watoto wa kike kupata mimba wakiwa shuleni na kuwapelekea kukatisha masomo yao. Wito huo umetolewa na afisa elimu wa mkoa huo mwl.Juma Kaponda alipokuwa anazungumza na walimu wa kata ya kibondo mjini katika hafla fupi ya kujipongeza kwa matokeo mazuri ya darasa la nne, darasa la saba na kidato cha pili pamoja na kidato cha nne…
0 comments:
Post a Comment