Na.Amiri kilagalila Baraza la madiwani la Halmashauri ya Mji wa Makambako Mkoani Njombe limetaarifu kuadimika kwa Kondomu kote madukani halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe hivyo kuwaagiza wataalamu wake kutafuta mwarobaini kwani ni kikwazo katika jitihada za kukabiliana na maradhi ya Ukimwi. Wajumbe wa Baraza hilo wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo hanana mfikwa walisema licha ya kuadimika hata zile zinazopatikana zimekuwa zikiuzwa hadi Tsh 800 moja kiwango ambacho wanakitaja kutokuwa rafiki kwao. Madiwani wa kata mbalimbali katika Halmashauri ya Mji wa makambako wamekutana katika kikao cha baraza la…
0 comments:
Post a Comment