Wednesday, 6 February 2019

DC KABEHO AZITAKA MAHAKAMA TARIME KUWATENDEA HAKI WANYONGE

...
Na Dinna Maningo,Tarime  Mkuu wa wilaya ya Tarime Charles Kabeho amewataka Mahakimu,Waendesha Mashtaka na Wanasheria  kutenda haki katika kesi zinazofikishwa Mahakamani zikiwemo kesi za wananchi wanyonge ambao matumaini yao ni kuona Mahakama inawatendea haki. Kabeho ameyasema hayo wakati  wa maadhimisho ya siku ya Sheria yaliyofanyika kiwilaya katika Mahakama ya wilaya ya Tarime yaliyohudhuriwa na wadau mbalimbali baadhi yao wakiwemo watumishi wa Mahakama za Tarime, Mawakili wa Serikali,Mawakiki wa kujitegemea,Waendesha mashtaka wa Polisi,Askari,Magereza,Takukuru,Asasi za Kiraia,Ofisi ya Ustawi wa Jamii Tarime na Wananchi. Kabeho alisema kuwa haki ikitendeka inaleta imani kubwa kwa…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger