Sunday 18 December 2016

Msanii Darasa akiwa na Hanscana wapata ajali ya gari huko Kahama

...
Mwanamuziki Darasa amepata ajali maeneo ya Ntobo barabara yakuelekea mgodi wa Bullyanhulu wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga. Waliokuwa garini wote wamenusurika.

Katika gari hiyo pamoja na watu wengine alikuwa na mtayarishaji wa video aliye kwenye chart Hanscana.




15492537_10206378362818256_6093491712623732141_n.jpg 15492570_10206378362218241_7745684630275410784_n.jpg
 
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger