Kwa kujiunga na mabingwa hao wa Kombe la FA, Sanchez amemwandalia mazingira mazuri mshambuliaji wa Liverpool na Uruguay, Luis Suarez kutua Barcelona kuziba pengo lake kwa uhamisho wa pauni milioni 75.
Friday, 11 July 2014
NYOTA SANCHEZ ATUA ARSENAL, KULAMBA PAUNI 140,000 KWA WIKI
Kwa kujiunga na mabingwa hao wa Kombe la FA, Sanchez amemwandalia mazingira mazuri mshambuliaji wa Liverpool na Uruguay, Luis Suarez kutua Barcelona kuziba pengo lake kwa uhamisho wa pauni milioni 75.
0 comments:
Post a Comment