Na.Amiri kilagalila Halmashauri ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa imeanza kupiga kura ya maoni ya siri katika vijiji vyote vya tarafa tano za wilaya hiyo ili kuwabaini waharifu wa matukio ya ubakaji na ulawiti ambayo yanaonekana kukithiri katika wilaya hiyo na kuifanya wilaya hiyo kuwa ya kwanza kati ya wilaya tatu za mkoa huo kwa ukatili huo. Kaimu katibu tawala wa wilaya ya mufindi Joseph Mchina amesema kuwa kura ya siri ya maoni imeanza tangu januri katika vijiji na mitaa na baadae litafanyika katika taasisi za elimu zikiwemo shule za…
0 comments:
Post a Comment