Tuesday, 12 February 2019

WATUHUMIWA WATATU WA MAUAJI YA WATOTO NJOMBE WAFIKISHWA MAHAKAMANI

...
Na.Amiri kilagalila Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Njombe imesikiliza kesi ya mauaji namba moja ya mwaka 2019 dhidi ya jamhuri na watuhumiwa watatu waliohusioka na mauaji ya watoto watatu katika kijiji cha ikando kata ya kichiwa wilayani Njombe. Akisoma kesi hiyo mbele ya mahakama wakili mwandamizi wa serikali Ahmed Seif,alisema kuwa mtuhumiwa namba moja Joel joseph Nziku mbena (35)dreva anaisha Magegere mjini Makambako,mshatakiwa namba mbili Nasson Alfredo kaduma (39) mkulima anaishi kijiji cha Ibumila na mtuhumiwa namba tatu Alphonce Edward Danda (51)naye anaishi katika kijiji cha Ibumila wote wanashtakiwa…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger