Wednesday, 13 February 2019

Tanzia : MSANII WA HIPHOP GODZILLA AFARIKI DUNIA

...
Msanii maarufu wa muziki Hip Hop Golden Mbunda maarufu Godzilla amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo Jumatano, February 13, 2019 akiwa nyumbani kwao, maeneo ya Salasala, DSM. Mwili wake umehifadhiwa ktk Hospitali ya Jeshi ya Lugalo.
Mtu wake wa karibu ameeleza kuwa presha ilishuka na sukari ilipanda pamoja na kuumwa na tumbo.

Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana, Godzilla amefariki dunia ghafla nyumbani kwao Salasala jijiji Dar es Salaam. Mwili umehifadhiwa katika Hospitali ya Jeshi ya Lugalo.
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger