Wednesday, 20 February 2019

SHULE YA SECONDARI PUGU YAGOMEWA KUKAGULIWA

...
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, amelazimika kuahirisha kagua ukarabati wa Shule Kongwe ya Sekondari Pugu, Jijini Dar es Salaam baada ya uongozi wa mkoa na Manispaa ya Ilala kueleza kuwa hawajui lolote kuhusu ukarabati huo unao gharimu zaidi ya shilingi bilioni 1 kwa madai kuwa hawajashirikishwa. Dkt. Kijaji amechukua uamuzi huo baada ya Kaimu Katibu Tawala  wa Mkoa wa Dar es Salaam Bi. Yokobeth Malisa, Afisa Mipango Manispaa ya Ilala Bw. Ando Mwankuga, Afisa Elimu Taaluma Mkoa wa Dar es Salaam Mwl. George Lukoa  na Mkuu…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger