Na Shabani Rapwi. Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Karim Benzema jana usiku amefunga goli moja katika ushindi wa magoli 2-1 iliopata timu yake ya Real Madrid dhidi ya Ajax katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya ( UEFA Champions League) katika hatua ya 16 bora. Goli hilo alilofunga dakika ya 60′ na kuwa goli lake la 60 katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, akishika nafasi ya nne ya wafungaji bora wa muda wote huku Cristiano Ronaldo akiwa ndiyo kinara wa ufungaji akiwa na magoli 121 nyuma ya Lionel…
0 comments:
Post a Comment