Na.Amiri kilagalila Maambukizi ya virusi vya ukimwi mjini mafinga mkoani iringa yanahofiwa kuongezeka kwa kasi kutokana na kuadimika kwa bidhaa ya kujikinga na maabukizi. kondom za kike na za kiume zimeonekana kupungua mjini hapo huku zilizopo zikielezwa kupanda bei na kuuzwa kwa bei ya ghali kunzia shilingi elfu 1000 mpaka elfu 3000 hali inayopelekea badhi ya watumiaji kushindwa kumudu gharama na kuwa hatarini zaidi na kukumbwa na maambukizi ya VVU. “Utakuta ukienda duka hili hakuna kondom je mh.mwenyekiti tunawasaidiaje wanaouza hizi kondom kuzipata kwa uraisi na ongezeko ili zije kwa…
0 comments:
Post a Comment