Saturday 12 January 2019

WASIKIE CCM KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2020

...
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM, Humphrey Polepole ameweka wazi mipango ya chama hicho katika kujiandaa na Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 na kumbainisha mgombea kiti cha urais 2020 kupitia chama chao.  Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM, Humphrey Polepole Polepole kupitia mahojiano yaliyofanyika leo Jan 09 katika kipindi cha East Africa BreakFast amesema kuwa alichokifanya Rais Magufuli kwa kipindi hiki kifupi alichokaa madarakani, ni dhahiri kuwa hakuna mwingine atakayepewa ridhaa na chama zaidi yake kugombea 2020. “Mwaka 2020 hatuna shaka…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger