Saturday 12 January 2019

HAIJAWAHI KUTOKEA SIMBA,UKUTA HUU AL AHLY KILIO

...
Hii ni mara ya kwanza kwenye kikosi cha Simba kwa mabeki wa kati Juuko Murshid na Pascal Wawa kuanza pamoja kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. UKUTU wa mabeki wa kati, Pascal Wawa na Juuko Murshid umeonekana kuwa na maelewano mazuri kwenye kikosi cha Simba SC baada ya Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya JS Saoura. Ushindi wa mapema wa Simba SC dhidi ya JS Saoura Ndani ya dakika 45 kipindi cha kwanza wa bao 1-0 iliisaidia timu hiyoya Mtaa wa Msimbazi kuja na mipango mizuri…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger